Monday, October 28, 2013

LULU NA ALIKIBA KWENYE PENZI JIPYAA...!!

Katika hali isiyokuwa ya kawaida na yakushangaza kwa watu wengi inasemekana baada ya lulu alimpigia sim Ali kiba wakutane hoteli moja hivi wapate dina mambo ndo yakawa hivi kama mnavyojionea wenyewe kwenye picha , ila baada ya kupata msosi yaliyoendelea haikujulikana walitoka saa ngapi.

-uswazi blog

SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.

1 comments:

  • October 28, 2013 at 8:35 AM
    Anonymous Disse:

    Mi skubaliani nawee! Hiyo picha ilikuwa ni kwenye bethday ya lulu!

    delete

Post a Comment

 

FULL MAUDAKU Copyright © 2011 -- Template created by MAMBOMSETO TEAM -- Powered by MAMBOMSETO TEAM

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter