Katika
hali isiyokuwa ya kawaida na yakushangaza kwa watu wengi inasemekana
baada ya lulu alimpigia sim Ali kiba wakutane hoteli moja hivi wapate
dina mambo ndo yakawa hivi kama mnavyojionea wenyewe kwenye picha , ila
baada ya kupata msosi yaliyoendelea haikujulikana walitoka saa ngapi.
-uswazi blog
-uswazi blog
SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.
Mi skubaliani nawee! Hiyo picha ilikuwa ni kwenye bethday ya lulu!