Mambo yanayofanywa na akina dada ndani ya kumbi za starehe ni aibu tupu….Kama ulikuwa hujui, ukweli ni kwamba asilimia 80 ya warembo wanaoingia kujirusha club na kwingineko nyakati za usiku huwa hawavai nguo za ndani eti kwa kisingizio cha kuchubuka wakati wakicheza….Kama bado huamini, basi tazama ...
Thursday, December 26, 2013
Sunday, December 22, 2013
AFANYIWA UKATILI WAKUTISHa KISA WIVU WA MAPENZI..ANGALIA PICHA ZAKE ZA KUTISHA 10

Mwenyezi mungu alieumba aridhi na mbingu alimtofautisha mwanadamu na wanyama mnyama amepewa akili tuu bali mwanadamu amepewa akili na utashi .Ila kwa hali ya sasa yale wanayofanya wanadamu ni kama wanatumia akili tu bila utashi unyama matukio ya ajabu kimekuwa kitu cha kawaida sana kwa dunia ya leo
Matukio ambayo zamani tulikuwa tukiyaona katika filamu ila kwa sasa yanatokea katika jamii tulizopo inasikitisha na inahuzunisha sana kuona mwanadamu mwenzio anapata maumivu yaliyosababishwa na mwanadamu...
PICHA YA KWANZA YA SABABU ILIYOFANYA MAWAZIRI 4 KUONDOLEWA JUZI BUNGENI DODOMA..!! NI UNYAMA WA KUTISHA WALIOFANYIWA WATANZANIA..

Hii ndio moja ya unyama uliofanyika kwenye Operation Tokomeza Ujangili iliyosimamiwa na washiriki toka Wizara 4 za mawaziri waliondolewa juzi bungeni.&nb...
Saturday, December 21, 2013
HAIJAWAHI TOKEA: KIJANA ALIYEHISIWA KUWA NA UMRI WA MIAKA 17 ATOA KALI YA KUNYONYANA MIDOMO NA MAMA YAKE MZAZI LAIVU...! SIJUI UTAMADUNI WA WAPI HUU?.. CHEKI PICHA HIZI

SAWA anamkiss mama yake mzazi lakini hapa hatuelewielewi kinachoendelea? Busu hilo linatupa maswali mengi sana kichwani...!Alafu cheki alichokiandika hapa chini, Mmh...?
<< PICHA HII HAPA>>
Bofya hapo juu kuona utumbo wa huyo kijana akimbusu "DENDA" mama yake mzazi na kutupia instagram...hii ni no...
MUME ALIYEOA WAKE 12 AKIRI KUKIMBIA TENDO LA NDOA KWA WAKE ZAKE JUU YA KUCHOKA...SOMA ZAIDI HAPA

BAADA ya kujitwalia wake 12 na kuzaa nao zaidi ya watoto 50, wengine akidai kutowafahamu kwa majina, mzee mmoja wa hapa, amedai kwa sasa hana tena mpango wa kuoa, akisema aliooa wanatosha, kwani nao kuna kipindi wanamchosha, hali inayomlazimu wakati mwingine kuwagomea kukutana kama mume na mke.
Katika mahojiano na gazeti hili, mzee huyo ambaye ni mfugaji, Nzije Shanga Komite (58) alisema sasa hana tena mpango wa kuoa kwani umri umekwenda na hawezi kuhimili mikikimikiki ya ndoa mpya.“Nina wake...
Monday, December 02, 2013
PICHA AIBU..!WALEWA, WAFANYA MAPENZI NDANI YA GARI NA KUANGUSHA MBONJI YA NGUVU UCHI..!

ICHA AMBAYO HAIKUZIBWA IPO HAPO CHINI ILA NI KWA WENYE UMRI WAMIAKA (18+) TU
KUITAZAMA (((BOFYA HAPA))) ...
AIBU SONGEA MJINI: DADA MMOJA APONZWA NA HUDUMA YA wattsAp KATIKA SIMU YAKE NA KUJIKUTA ANAPIGA PICHA ZA UTUPU NA KUWARUSHIA WATU HOVYO.

DADA
ambaye jina lake limehifadhiwa ni mkaazi wa songea mjini maeneo ya
mfaranyaki jirani na ukumbi wa disco wa buhemba mkoani humo.
Chanzo
chetu cha habari kilifunguka kwamba hana makaazi maalum ila inasemekana
amefungua mgahawa wake sehemu za machimboni mpakani mwa Tanzania na
Msumbiji,
Picha
zimepigwa wiki chache zilizopita, Chanzo cha habari kiliendelea kueleza
kwamba dada huyualipigwa picha hizi kwa hiyari yake na kumtumia mtu
ambaye pia jina lake...
Friday, November 08, 2013
Mlinzi mkuu wa Rais Paul Kagame wa Rwanda atekwa kimafia soma hapa nkujize.....!!!

ALIYEKUWA Mlinzi mkuu (bodyguard) wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame, Luteni Joel Mutabazi, ametekwa na kikosi cha Jeshi la Uganda na kukabidhiwa kwa Serikali ya Rwanda.
Taarifa za kiintelijensia zinasema kuwa Luteni Mutabazi, alikuwa akiishi nchini Uganda kwa hati maalumu ya ukimbizi ya Umoja wa Mataifa, baada ya kutoroka nchini Rwanda pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo, Faustin Kayumba Nyamwasa.Luteni Mutabazi alitorokea nchini Uganda Oktoba 2011, baada ya kutoroka jela yenye...
HOW TO LOOK SEXY AT HOME ON HALLOWEEN DAY 'BY:FLORA LYIMO ' ALBUM (1) HOTTEST EVER!!
MBUTA NANGA!!!HAHHAHHAAAA' FLORA LYIMO NA VIMIGUU VYAKE WACHACHE WENU
MLADAI SIYO MIZURI 'NDIYO HIYOOO TENA MNAVYOZIDI KUTUKANA NDIPO NITAKAPO
ZIDI KUWAONGEZEA MAUTAMUUU'' YANI NACHEKAAAAA'UWIII JAMANI NARAHAAA
MIEEE''SIYO MCHEZO JAMANI ''MAISHA NI KUYAFURAHI YAKIWA YAMENAWIRI
KULIKO MCHICHA WA PAROKEANI ''MAANA NI LAZIMA IPO SIKU UTASINYAA ''NA
USIJEJIKUTA UKIJUTIA'' ENJOY YOUR LIFE PEOPLE''
FLORA LYIMO >SEXY NI KITU CHA KUJIFANYIA NA UKIFANYIWA NA MPENZI WAKO
JUA NI TOP UP ,MAANA...
FUMANIZI!!! AKUTWA AKIFANYA MAPENZI NDANI YA GARI NA MFANYAKAZI WAKE WA NDANI.....TAZAMA PICHA HAPA!!!
A man was caught by his legally married wife red handed with his
mistress in the car making hot love,according to report she has being
hearing stories about her husband and a strange lady driving car around
town,they have being seen in motel and bars,on this faithful day the
wife traced them down to his car and what she saw was so''
heartbroken'',,,,her husband was busy with another woman in the car.
SEE MORE PHOTOS BELOW....
...
TAZAMA PICHA 3 ZA MSANII BEYONCE AKIJIACHIA KIHASARA MPK UTAMU KUBAKI NJE NJE UKICHUNGULIA....!!!

<<<<<BONYEZA HAPA KUONA PICHA TATU LIVE>>>&g...
AKATWA NYETI KWENYE MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI...

MBALI na mtu mmoja kufariki dunia na wengine 24 kujeruhiwa na kulazwa
kwenye Hospitali ya Bwagala, Turiani mkoani hapa, mwanaume mmoja
amekatwa nyeti zake katika mapigano ya wakulima na wafugaji Jumanne
iliyopita.
Mapigano
hayo yaliyoshuhudiwa na mwandishi wetu yalipoteza amani iliyokuwa
kwenye Kijiji cha Dihombo Kata ya Hembeti Wilaya ya Mvomero.
Mashuhuda kadhaa walimwambia mwandishi wetu kwamba, mtu aliyekatwa
nyeti alikutana na wakulima hao wenye hasira waliokuwa...
Subscribe to:
Posts (Atom)