
Staa wa sinema za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa hawezi kurudia makosa tena kwa kumvulia nguo aliyekuwa mpenzi wake, Joseph Rashau ‘Bwana Misosi’.
"Sipo tayari kumvulia nguo bwana Misosi, labda anibake, kwani nikishaachana na mtu huwa namtoa moyoni kabisa na ndio maana sipendi hata kusikia lolote juu yake"..Alisema Amanda
SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.