Saturday, October 19, 2013

Zitto Kabwe adai kwamba yupo tayari CHADEMA na CCM wamnyonge lakini Ruzuku hawatapata mpaka wakaguliwe. Bofya hapa umsikilize



Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Zitto Kabwe akitoa ufafanuzi juu ya taarifa yake ya mahesabu ya vyama 9 vya siasa ambavyo havijapeleka ripoti ya ukaguzi wake wa mahesabu kwa Msajili. Baadhi a vyama hivyo vilikanisha taarifa hiyo.

SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.

0 comments em “Zitto Kabwe adai kwamba yupo tayari CHADEMA na CCM wamnyonge lakini Ruzuku hawatapata mpaka wakaguliwe. Bofya hapa umsikilize”

Post a Comment

 

FULL MAUDAKU Copyright © 2011 -- Template created by MAMBOMSETO TEAM -- Powered by MAMBOMSETO TEAM

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter