Monday, October 28, 2013

"KUOA KWANGU BADO NI KITENDAWILI, MNAOSUBIRI HARUSI YANGU MTASUBIRI SANA"...RAY

 STAA wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amesema anainjoi kuishi maisha ya ubachela hivyo haoni umuhimu wa kuoa.

Vincent Kigosi ‘Ray’.
Akitema mbili tatu mbele ya kinasa sauti cha Stori, Ray aliyetamba kwenye sinema ya Ramadhani, alisema kwenye maisha yake anapenda zaidi kuwa bachela tofauti na wasanii wenzake ambao ndoa wanaona ni kitu cha haraka na kukipa kipaumbele.
Napenda maisha haya, sina mpango wa kuoa kwa sasa, niko kivyanguvyangu na suala la kuoa kwangu bado ni kitendawili ambacho bado sijakipatia majibu,” alisema Ray au The Greatest.

SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>

KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.

0 comments em “"KUOA KWANGU BADO NI KITENDAWILI, MNAOSUBIRI HARUSI YANGU MTASUBIRI SANA"...RAY”

Post a Comment

 

FULL MAUDAKU Copyright © 2011 -- Template created by MAMBOMSETO TEAM -- Powered by MAMBOMSETO TEAM

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter