Mtoto mmoja wa kike mwenye umri wa miaka 2 na nusu nchini Kenya ambae hakufahamika jina lake ametia huruma baada ya wazazi wake kumfanyia tohara bila ganzi na kumsababishia uchungu mkubwa.
Tukio hilo linalodaiwa kutokea hivi karibuni lilisema kuwa familia hiyo ambayo ni ya kabila la Mungiki ambao wanautamaduni wa kuwafanyia tohara watoto wa kike walimfanyia mtoto wao huyo huku akilia kwa uchungu kwa kusema "
Mungu wangu mungu wangu nisaidie nakufa" Lakini licha ya mtoto huyo kutamka maneno hayo ghariba hakutaka kumsikia na aliendelea na kazi yake.
<<<<BOFYA HAPA KUONA PICHA YENYEWE JAMANI NI HURUMA18+>>>>
<<<<BOFYA HAPA KUONA PICHA YENYEWE JAMANI NI HURUMA18+>>>>
SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.