

Mwimbaji wa nyibo za injili toka nchini Nigeria ajulikanaye kwa jina la Maheeda amejikuta akitengwa na kanisa baada ya picha zake za uchi kuvuja….
Taarifa zinadai kwamba kabla ya kuanza kuimba nyimbo za dini, mrembo huyo alikuwa akijihusisha na mziki wa kidunia ambao kwa tanzania unajulikana kwa jina la Bongo Fleva
>>BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI<<
SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPA CHINI==>>
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU BASI BOFYA "LIKE" HAPO CHINI KUUNGANA NASI KWENYE FACEBOOK.